Matokeo klabu bingwa

Baada ya kumalizika kwa michezo miwili ya klabu bingwa usiku huu haya ndio matokeo ya jumla.

Tukishuhudia bingwa mtetezi Liverpool akitupwa nje kwa idadi ya magoli 2-3 (2-4) kwa ushindi wa jumla(on aggregate).

Pia PSG akifanya come back ya maana kwa kumfungashia vilago vyake Dortmund.

No comments