Breaking News

Matokeo klabu bingwa

Baada ya kumalizika kwa michezo miwili ya klabu bingwa usiku huu haya ndio matokeo ya jumla.

Tukishuhudia bingwa mtetezi Liverpool akitupwa nje kwa idadi ya magoli 2-3 (2-4) kwa ushindi wa jumla(on aggregate).

Pia PSG akifanya come back ya maana kwa kumfungashia vilago vyake Dortmund.

No comments