Mshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy ametupia goli mbili baada ya kuingia akitokea bench dhidi ya Aston Villa na kumfanya afikishe magoli 19 na kua kinala wa mabao katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL).
Vardy azidi kujikita kileleni mwa wavumania nyavu
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
March 09, 2020
Rating: 5
Post Comment
No comments