Klabu ya Barcelona imethibitisha kucheza mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya siku ya Jumatano ya wiki ijayo dhidi ya Napoli bila mashabiki katika dimba la Camp Nou kutokana na kuenea kwa virusi vya Corona.
Camp nou bila mashabiki Barcelona wakipepetana na Napoli
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
March 10, 2020
Rating: 5
Post Comment
No comments