MANCHESTER ENGLAND. HAKUNA namna, Manchester City wapo tayari kumpiga bei winga wao Leroy Sane kwenda Bayern Munich kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi baada ya Mjerumani kugomea kusaini mkataba mpya wa kubaki Etihad.
Sane apeleka kilio Man City
Reviewed by Mustapha - NMG
on
May 18, 2020
Rating: 5
Post Comment
No comments