Klabu ya Liverpool ya nchini England imefanya mawasiliano na klabu ya Napoli kuhusu upatikanaji wa saini ya beki wa kati Kolidou Koulibaly mwenye umri wa miaka 28.
(Source : TuttoSport)
Liverpool yajitosa kwa Koulibaly
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
May 02, 2020
Rating: 5
No comments