Klabu ya PSG imethibitisha watacheza michezo yao iliyosalia ya klabu bingwa ulaya nje ya Ufaransa, hi ni baada ya serikali ya Ufaransa kutangaza kufuta michezo yote mpaka mwezi September (tisa).
PSG kumalizia mechi zake za klabu bingwa nje ya Ufaransa
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
April 30, 2020
Rating: 5
No comments