Breaking News

Chelsea, Barca & Inter wamfatilia Aubameyang


Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Pierre-Emerick Aubameyang katika Arsenal wakiwa na matumaini ya kumchukua mshambuliaji huyo wa miaka 30 raia wa Gabon msimu huu.(ESPN)

Barcelona na Inter Milan pia wako makini na Aubameyang, huku klabu hiyo ikiamini kuwa the Gunners watalazimika kumuuza kwa bei ya chini msimu huu. (Telegraph)

Arsenal wamesitisha kwa muda mazungumzo ya makataba na Aubameyang na wako tayari kuwasikiliza wanaomtaka mshambuliaji huyo. (Mail)

No comments