Jadon Sancho anakuwa mchezaji wa nne raia wa Uingereza kufunga goli kwenye dimba la Camp Nou dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya mabingwa baada ya Andy Cole, Steve McManaman na Frank Lampard kuwahi kufanya hivyo huko nyuma.
Sancho aweka rekodi ya kua Mwingereza wa nne kufunga bao Camp Nou
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
November 27, 2019
Rating: 5
No comments