Kutoka kwa El Capitano, ukurasa wake wa Twitter : amesikia na kusoma kutoka kwa mashabiki wake pendwa wa soka nchini Tanzania wanaopenda mazuri kwake na Taifa kwa ujumla, asema ataboresha zaidi .!
Samatta aahidi kuongeza kiwango zaidi kwenye timu ya Taifa
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
November 20, 2019
Rating: 5
No comments