Baada ya kufikisha mchezo wake wa 700 Lionel Messi sasa ndiye mchezaji pekee aliyezifunga timu nyingi zaidi katika historia ya michuano ya klabu bingwa Ulaya. Amezifunga timu 34.
Cristiano Ronaldo (33) na Raul Gonzalez (33) wanashika nafasi ya tatu.
Messi ndiye mchezaji aliyezifunga timu nyingi UEFA
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
November 27, 2019
Rating: 5
No comments