UEFA yaja na orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora chini ya miaka 21

Shirikisho la soka barani Ulaya, UEFA limetoa orodha ya mwisho ya wachezaji 20 wanaowanaia tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwa wachezaji walio na umri wa chini ya miaka 21 maarufu kama UEFA Golden Boy Award: 🇨🇦 A Davies
🇮🇹 A Donnarumma
🇵🇹 J Felix
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 P Foden
🇫🇷 M Guendouzi
🇳🇴 E Haaland
🇩🇪 K Havertz
🇰🇷 Lee Kang-In
🇮🇹 M Kean
🇷🇸 D Joveljic
🇳🇱 M de Ligt
🇪🇸 A Fati
🇺🇦 A Lunin
🇳🇱 D Malen
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 M Mount
🇧🇷 Rodrygo
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 J Sancho
🇪🇸 F Torres
🇧🇷 Vinicius Jr
🇮🇹 N Zaniolo

Mwaka huu nani anastahili kuondoka na MZIGO?

No comments