Tanzania U20 yafanikiwa kutinga fainali ya CECAFA U20 nchini Uganda dhidi ya Sudani kwa idadi ya magoli 2 kwa 1. Magoli ya Tanzania yakifungwa na Patrick Mwenda na Kelvin John "Mbape".
Tanzania U20 sasa hao!! fainali
Reviewed by SkyBoy - NMG
on
October 02, 2019
Rating: 5
No comments