STRAIKA wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Kelvin John 'Mbappe' amenyakua tuzo ya Mfungaji Bora na Mchezaji Bora wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CecafaU20) 2019 jioni hii huku Tanzania ikibeba taji mbele ya Kenya.
Kelvin John afunika CECAFA 2019
Reviewed by Mustapha - NMG
on
October 05, 2019
Rating: 5
No comments