BAADA ya jana Alhamis kuifunga Zanzibar bao 5-0, kwenye michuano ya 'Cecafa Under 20 Challenge Cup' inayoendelea nchini Uganda na kufuzu hatua ya robo fainali Ngorongoro Heroes sasa watakutana na wenyeji Uganda.
Tanzania kukipiga na Uganda
Reviewed by Mustapha - NMG
on
September 27, 2019
Rating: 5
No comments