Barcelona wamethibitisha kwamba mchezaji wao, winga wa kimataifa wa Ufaransa na Barcelona Ousmane Dembele atakuwa nje ya dimba kwa muda wa miezi 6 baada ya kufanyiwa upasuaji wa misuli ya nyuma ya paja.
Na sasa rasmi ataikosa michuano ya Mataifa Ulaya 2020.
thankz broe
ReplyDeleteAhsante kwa ujumbe mdau wetu, Endelea kutembelea blog yetu.
Delete