Cavani majeraha ndio yanayomuweka benchi
Thomas Tuchel: Kocha wa PSG kabla ya mchezo wa leo dhidi ya Dijon, ametoa maelezo kwanini mshambuliaji Edison Cavani hachezi:
"hana furaha kabisa kwani amekuwa akiuguza majeraha kwa muda mrefu sasa. Yeye anataka kuisaidia timu na sisi tungependa kumuona akicheza, lakini anapaswa kupambana zaidi kama wenzake wengine".
"hana furaha kabisa kwani amekuwa akiuguza majeraha kwa muda mrefu sasa. Yeye anataka kuisaidia timu na sisi tungependa kumuona akicheza, lakini anapaswa kupambana zaidi kama wenzake wengine".
No comments