Mbivu na Mbichi Kutambulika baada ya dakika 90 leo VPL


Baada ya viwanja Mbalimbali kuwaka moto kwa siku ya jana ... leo tena ni zamu ya Mbeya pamoja na Tanga. Ambapo pata shika nguo kuchanika baina ya :

Mbeya City VS Biashara united Pale Jijini Mbeya

Na Coastal Union  VS Mwadui pale Jijini Tanga

Mechi zote hizi Zitachezwa  Majira ya 10:00 Jioni. Je nani Kumkalisha mwenzake.. Mbeya City anaweza kutumia vizuri uwanja wa nyumbani kama ilivyo Kawaida yake au  Biashara Anenda Kupindua meza. Na je Coastal  Union Ataweza kumgaragarza Mwadui FC wamiliki wa migodi hawa pale tanga ? Au Wazee wa Almasi wataendelea kung'ara Ugenini ? Basi  Majibu Ya yote Haya Yatapatikana Baada ya Dakika 90 za michezo yote Mikali ya Ligi kuu.

cc : Nurdinmohamed.com & muziktz.com



No comments