MSHAMBULIAJI wa timu ya Simba, Miraji Athumani amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) mwezi uliopita Septemba huku kocha wake Patrick Aussems akiwa Kocha Bora wa mwezi huo.
Aussems & Miraji wametwaa tuzo (September)
Reviewed by Mustapha - NMG
on
October 04, 2019
Rating: 5
No comments