Yanga wamtangaza Manara wao
Dar es Salaam. Uongozi wa Yanga umewatambulisha rasmi Afisa Habari Mkuu, Hassan Bumbuli na Afisa Mhamasishaji Mkuu, Antonio Nugaz.
Aliyewatambulisha wawili hao ni kaimu katibu mkuu Dismas Ten aliyekuwa Afisa Habari Mkuu.
Ten amesema viongozi hao sasa wanakuwa familia ya Wanayanga wakisaidiana na uongozi wa klabu hiyo kuendeleza kwa kasi malengo ya klabu hiyo.
Aliyewatambulisha wawili hao ni kaimu katibu mkuu Dismas Ten aliyekuwa Afisa Habari Mkuu.
Ten amesema viongozi hao sasa wanakuwa familia ya Wanayanga wakisaidiana na uongozi wa klabu hiyo kuendeleza kwa kasi malengo ya klabu hiyo.
Post Comment
No comments